Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wafuasi 29 wa CUF Waachiwa kwa dhamana

$
0
0
Hatimaye wafuasi 29 kati ya 30 wa chama cha wananchi (CUF) akiwemo Naibu Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Uchaguzi na Bunge Shaweji Mketo na Naibu Mkurugenzi wa mawasiliano Abdul Kambaya wamepatiwa dhamana.   Licha ya wafuasi hao kupatiwa dhamana, mmoja ya watuhumiwa hao ambaye ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Sandali Bw Abdina Ali Abdina amelazimika kutolewa nje ya chumba cha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>