Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CUF Wamtaka Waziri Chikawe Afute Kesi......Wasema wanaandaa Maandamano Makubwa nchini Nzima

$
0
0
Jumuiya ya Vijana ya CUF (JUVICUF) imemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe kufuta kesi zote zilizofungliwa kutokana na tukio lililotokea mapema wiki hii la viongozi wa chama hicho na wafuasi kupigwa na kukamatwa na polisi.   Jumuiya hiyo, pia imesema kuwa itaandaa maandamano nchi nzima kulaani vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu vinavyofanywa na askari wa Jeshi la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>