Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

'Serengeti Boy' anaswa Gesti na Mke wa Kigogo

Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Marck Costantine (24), mkazi wa mtaa wa Kitangiri jijini Mwanza amenaswa ‘live’ gesti akiwa na mke wa kigogo mmoja (jina kapuni), aitwaye Mwanaidi wakijiandaa...

View Article


Ndege za jeshi za Iraqi zasambaza vyakula na maji kwa kundi la ISIS kwa...

Marubani wa ndege za kivita za Iraqi zilizokuwa na maji, vyakula na misaada mingine ya kibinadamu zimesambaza mahitaji hayo kwa maadui zao wa kundi la Islamic States badala ya kuwapa wanajeshi wao....

View Article


Hii inakubalika Tanzania? Irine Uwoya na Rich Wafanya LIVE kwenye scene ya...

Tasnia ya filamu nchini huenda ikawa na mengi yanayofanyika nyuma ya pazia wakati wa majaribio ya kutafuta shots nzuri zenye uhalisia hasa kwenye scene za mapenzi!   Lakini napata kigugumizi kikali...

View Article

Waliopiga kura ya hapana walalamika kutishwa

Baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba waliopiga kura za hapana wamelazimika kuondoka Dodoma na kurudi Zanzibar kwa madai ya vitisho walivyopata kutoka kwa wenzao.    Mmoja wa wajumbe hao, Salma Said...

View Article

CCM Kufanya Maamuzi Magumu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema watendaji waliohusika kusababisha mgogoro katika Kiwanda cha Chai Mponde, kilichopo Jimbo la Bumbuli, Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga, wanapaswa kuwajibishwa pamoja...

View Article


Waliodhurika kwa kunywa togwa yenye Sumu Songea wafika 340

Idadi ya watu waliolazwa hospitalini kwa kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Litapwasi, Kata ya Mpitimbi mkoani Ruvuma imeongezeka kutoka 270 hadi 340.    Tukio hilo lilitokea...

View Article

Ammwagia mumewe maji ya moto

Mwanamke mmoja katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amemfanyia ukatili mume wake kwa kumwagia maji ya moto yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya kupikia ugali. Kwa mujibu wa jeshi la polisi wilayani...

View Article

Mume ajiua kwa sumu ukweni

MFANYABIASHARA wa mjini Tarime mkoani Mara, Wilson Weso maarufu Kishimba (34) amekufa kwa kile alichodaiwa amekunywa sumu nyumbani kwa baba mkwe wake.   Inadaiwa alifanya hivyo nyumbani kwa baba mkwe,...

View Article


Polisi achunguzwa kwa kumtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha...

(Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Kilimanjaro.) JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linachunguza tukio la askari wake (jina tunalo), iwapo alimtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha tatu...

View Article


Chama cha ACT-Tanzania Chakanusha Kumilikiwa na Zitto Kabwe

ACT-TANZANIA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Ndugu wanahabari kumekuwa na utaratibu wa habari zinazoupotosha umma wa Watanzania kuhusu chama chetu cha ACT-Tanzania....

View Article

Rais Kikwete ataja njia Saba zinazochukuliwa na Serikali Kupunguza Foleni za...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametaja hatua saba ambazo Serikali yake imeanza kuzichukua ama inakusudia kuzichukua ili kukabiliana na msongamano wa magari...

View Article

Tanzania ina idadi ndogo ya wazee duniani

Tanzania imetajwa kushika nafasi ya 92 katika orodha ya nchi zenye idadi kubwa ya wazee kati ya nchi 96 duniani huku takwimu za taasisi ya Helpage International zikionyesha kuwa ifikapo mwaka 2050...

View Article

Kutukanwa Matusi Mazito ya Nguoni: Kajala kumshitaki mama yake Wema...

Habari ya mjini kwa sasa ni bethidei ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutimiza miaka 26 tangu kuzaliwa, lakini ndani ya tukio hilo, mengine yameibuka! Miongoni mwa yaliyoibuka kwenye sherehe hiyo...

View Article


Bunge Lachafuka......Mwanasheria mkuu wa Zanzibar anusurika kupigwa

Licha ya Bunge Maalum la Katiba (BMK) kuunda Kamati ya Mashauriano ili kusaka theluthi mbili ya kura za upande wa Zanzibar, Bunge hilo jana lilichafuka baada ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman...

View Article

Radi yajeruhi wanafunzi 17 Mwanza

Wanafunzi 17 wa Shule ya Sekondari Kabuholo wilayani Ilemela jijini Mwanza, wamejeruhiwa na radi kufuatia mvua kubwa ilioyonyeshwa jijini humo kwa saa moja. Tukio hilo lilitokea jana saa 1.45 asubuhi...

View Article


Samwel Sitta: Mnyika Kanitukana Matusi Mazito

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amelieleza Bunge hilo kuwa, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliamua kumtukana yeye na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge....

View Article

Matokeo yanaendelea kutangazwa Bungeni.....Theluthi mbili ya wajumbe toka...

  Matokeo ya kura za wajumbe yanaendelea kutangazwa, 2/3 mpaka sasa inaongoza katika sura ambazo zimetajwa.   Theluthi  mbili  ya  wajumbe  toka  Zanzibar  na  Bara   wamepiga  kura  ya Ndio  kuafiki...

View Article


Kijana Akacha shule kwa kunogewa penzi la nguruwe huko Sumbawanga.....Polisi...

UNAWEZA kudhani ni Hekaya za Kusadikika! Lakini ni kisa cha kweli kwamba mama mzazi amemshitaki polisi mwanawe wa kiume, ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16, kwa kile...

View Article

Sitta amchimba mkwara mkewe

  Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alimchimba mkwara mkewe Margareth Sitta kuwa angepata tabu sana kama angekosea kupiga kura.    Mbali na Uenyekiti wa Bunge la Katiba, Sitta...

View Article

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa...

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>