Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Diamond Amzawadia Gari Wema Sepetu

Diamond Platinumz ameonesha jinsi ambavyo penzi lake na Wema Sepetu linazidi kuimarika tofauti na habari zilizokuwa zimesambaa kwenye magazeti hivi karibuni.   Mdogomdogo Diamond amemzawadia kichuna...

View Article


UVCCM wamvaa Jaji Warioba

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umemtaka aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba, aingie mtaani kupambana akiwa na chama cha siasa badala ya kuendelea...

View Article


CUF Yatangaza mkakati mzito

CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimesema kitakuwa tayari kuingia mitaani na kuungana na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba, kupinga rasimu itakayopitishwa na Bunge Maalumu la...

View Article

Muuguzi Adaiwa kusababisha kifo cha mama mjamzito na watoto wake mapacha kwa...

HOSPITALI ya Serikali mkoani Shinyanga juzi ilijikuta katika wakati mgumu baada ya kundi la wananchi kuvamia wodi ya wazazi, wakilalamikia uzembe uliofanywa na muuguzi kushindwa kutoa msaada kwa...

View Article

CHADEMA Waliteka jiji la Mwanza.....Polisi watumia Mabomu Kuwatawanya

Baada ya Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza kuzuia maandamano ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katikati ya wiki iliyopita, umati mkubwa wa wakazi jijini hapa jana walifurika...

View Article


Big Brother Africa 2014: Picha na Video zote za washiriki wakioga, wakicheza...

Ni  siku  6  tu  zimesalia  kabla  ya  shindano  la  Big Brother Africa  kuanza  ambapo  Mshindi  wake  ataondoka na  Dolla  300,000. Usikubali  kupitwa  na  tukio  lolote  kutoka  ndani  ya  jumba...

View Article

Picha: Beyonce apata shida baada ya nguo kufunguka na kuacha kifua chote wazi...

Beyonce Knowles alipata tatizo la aina yake alipowasapraiz mashabiki wake kwa kuungana jukwaani na mumewe Jay Z ghafla katika Global Citizen Festival iliyofanyika wikendi iliyopita.    Akiwa katika...

View Article

Sad: Msanii Wa Bongo Flava Side Boy Mnyamwezi Afariki

Habari za kusikitisha zilizothibitishwa, zinaeleza kuwa msanii wa bongo aliyekuwa anajulikana kama Side Boy Mnyamwezi amefariki dunia jana   Side alifikwa na umauti katika hospitali ya Nyangao iliyopo...

View Article


TCRA yaanza kuwashughulikia wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii

Mamlaka  ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendelea kuwakumbusha wananchi  kutumia njia ya mawasiliano ipasavyo ili kujijengea heshima kwani kwa sasa hatua kali za kisheria zimeanza kuchukuliwa kwa...

View Article


Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa saa nane usiku, Wiz asema alifanya makusudi

Uamuzi wa Amber Rose kutaka kutalakiana na mumewe Wiz Khalifa ulizua maswali mengi huku ‘uchepukaji’ ukitajwa kuwa chanzo cha yote.   Lakini kwa mujibu wa TMZ, Amber Rose alichukua uamuzi huo baada ya...

View Article

Jeshi la Polisi latumia Risasi za Moto na Mabomu kutawanya wafuasi wa CHADEMA...

Wafuasi wa Chadema jana waliandamana katika mitaa ya Manzese na kusababisha tafrani baada ya polisi kuwatawanya kwa mabomu ya machozi na risasi.    Maandamano hayo yaliyoanza saa nne asubuhi jana,...

View Article

Tibaigana: Nchi hii inahitaji Rais Dikteta

Iko dhana kuwa ili Tanzania ipige hatua kimaendeleo inahitaji kiongozi anayethubutu kufanya uamuzi mgumu hasa kuwawajibisha viongozi wabadhirifu na wazembe, lakini Kamanda wa Polisi mstaafu wa Kanda...

View Article

Umoja wa Ma-Girlfriend Tanzania Watoa Tamko baada ya Diamond kutoa zawadi ya...

September 26 ilikua ni siku ambayo mrembo kutoka Tanzania Wema Sepetu alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo ndani ya siku yake hii ukitoa party aliyoifanya kulikuwa na vitu mbalimbali vya...

View Article


BAKWATA Yatangaza Siku ya Sikukuu ya Idd el Haji

Baraza Kuu la Waislam Tanzania, BAKWATA limetangaza kuwa sikukuu ya Idd el Haji itafanyika siku ya Jumapili ya tarehe 5 Oktoba 2014. Akizungumza na TBC, Kaimu Mufti wa Tanzania ambaye pia ni Shehe...

View Article

Watu 250 Hoi Hospitalini.....Walazwa baada ya kunywa Togwa yenye Sumu mkoani...

Zaidi ya watu 250 miongoni mwao wakiwemo watoto, katika kijiji cha Litapwasi katika wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wamenusurika kufa baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.   Watu hao...

View Article


Waziri Mkuu Mizengo Pinda aiokoa Mahakama ya Kadhi.....Asema Januari mwakani...

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alilazimika kuokoa jahazi la ‘kuzama’ kwa Katiba Mpya kwa kupoza hasira za Waislamu kuhusu Mahakama ya Kadhi kutoingizwa kwenye Katiba inayopendekezwa.    Badala yake...

View Article

Kura ya HAPANA yatikisa Bunge Maalumu la Katiba

Wajumbe wa Bunge la Maalumu la Katiba jana walianza kupiga kura za kuamua ibara za Katiba inayopendekezwa, huku kura za wajumbe kutoka Zanzibar zikiibua wasiwasi wa iwapo theluthi mbili itapatikana au...

View Article


Nyota ya Jaji Joseph Warioba Yang'ara Shinyanga

BAADHI ya wakazi wa Mji wa Shinyanga, wamepinga vikali kitendo cha baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kumshambulia kwa maneno ya kejeli aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,...

View Article

Kwa Nini Waganga Wanaweza Kuwasaidia Watu Kuwa Matajiri Wakati Wao Ni...

Kuna watu ambao wanapata mafanikio makubwa kwa kutumia uchawi. Ila mafanikio yale hayaletwi na uchawi bali imani ya mtu husika. Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au...

View Article

RUVUMA: Jeneza laibwa msikitini, lakutwa kwa afisa mtendaji

Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linawasaka watu wasiofahamika wanaotuhumiwa kuingia msikitini na kuiba jeneza, Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma. Baada ya kuiba jeneza hilo, watu hao wanadaiwa kwenda...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>