Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 250 Hoi Hospitalini.....Walazwa baada ya kunywa Togwa yenye Sumu mkoani Ruvuma

$
0
0
Zaidi ya watu 250 miongoni mwao wakiwemo watoto, katika kijiji cha Litapwasi katika wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wamenusurika kufa baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.   Watu hao wamekunywa togwa hiyo katika sherehe ya kipaimara iliyofanyia kijijini hapo juzi, Jumapili.    Watu 27 kati yao walilazwa katika hospitali ya Mtakatifu Joseph ya Peramiho huku wengine

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>