Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri Mkuu Mizengo Pinda aiokoa Mahakama ya Kadhi.....Asema Januari mwakani Serikali itaandaa Muswada ili kuitambua Mahakama hiyo

$
0
0
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alilazimika kuokoa jahazi la ‘kuzama’ kwa Katiba Mpya kwa kupoza hasira za Waislamu kuhusu Mahakama ya Kadhi kutoingizwa kwenye Katiba inayopendekezwa.    Badala yake Pinda aliwaahidi kuwa Januari mwakani, Serikali itawasilisha bungeni muswada wa sheria ili kuutambua uamuzi unayofanywa na Mahakama za Kiislamu.   Tamko hilo lilitokana na kuwapo kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>