Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jeshi la Polisi latumia Risasi za Moto na Mabomu kutawanya wafuasi wa CHADEMA Manzese, Dar es Salaam

$
0
0
Wafuasi wa Chadema jana waliandamana katika mitaa ya Manzese na kusababisha tafrani baada ya polisi kuwatawanya kwa mabomu ya machozi na risasi.    Maandamano hayo yaliyoanza saa nne asubuhi jana, yalihusisha wanachama takriban 30 kutoka maeneo mbalimbali ya Jimbo la Ubungo. Yalianzia Manzese Midizini na kuishia Ofisi za Chadema Kata ya Manzese.   Awali, waandamanaji hao waliokuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>