Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

RUVUMA: Jeneza laibwa msikitini, lakutwa kwa afisa mtendaji

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linawasaka watu wasiofahamika wanaotuhumiwa kuingia msikitini na kuiba jeneza, Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma. Baada ya kuiba jeneza hilo, watu hao wanadaiwa kwenda nyumbani kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kitanda, wilayani humo, Fidea Mbawala (30) na kuliweka mlangoni, likiwa limesheheni matofali. Kamanda wa Polisi Mkoa huo, Mihayo Msikhela,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>