Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mume ajiua kwa sumu ukweni

$
0
0
MFANYABIASHARA wa mjini Tarime mkoani Mara, Wilson Weso maarufu Kishimba (34) amekufa kwa kile alichodaiwa amekunywa sumu nyumbani kwa baba mkwe wake.   Inadaiwa alifanya hivyo nyumbani kwa baba mkwe, Chacha Sasita ambaye ni mkazi wa kijiji cha Rebu kata ya Turwa, kutokana na mgogoro na mke aliyemtoroka na kwenda jijini Mwanza na kumwachia watoto wawili.   Kamanda wa Polisi Tarime

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>