Mwanamke
mmoja katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amemfanyia ukatili mume wake
kwa kumwagia maji ya moto yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya kupikia
ugali.
Kwa mujibu wa jeshi la polisi wilayani hapa, tukio hilo lilitokea juzi,
saa 4:30 usiku, katika mtaa wa Nyamakokoto, mjini Bunda, baada ya
kuzuka ugomvi ulitokana na mwanamke huyo (jina linahifadhiwa) kuchelewa
kurudi nyumbani.
↧