Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tanzania ina idadi ndogo ya wazee duniani

$
0
0
Tanzania imetajwa kushika nafasi ya 92 katika orodha ya nchi zenye idadi kubwa ya wazee kati ya nchi 96 duniani huku takwimu za taasisi ya Helpage International zikionyesha kuwa ifikapo mwaka 2050 idadi ya wazee itakuwa sawa na ya watoto.   Akiongea jijini Dar es salaam wakati Tanzania imejumuika na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya wazee Mkurugenzi wa Taasisi ya Helpage

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>