Habari ya mjini kwa sasa ni bethidei ya Miss Tanzania 2006, Wema
Sepetu kutimiza miaka 26 tangu kuzaliwa, lakini ndani ya tukio hilo,
mengine yameibuka!
Miongoni mwa yaliyoibuka kwenye sherehe hiyo iliyofanyika Jumapili
iliyopita nyumbani kwa Wema, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar es
Salaam ni madai ya mama Wema, Mariam Sepetu kudaiwa kupewa nafasi ya
kutoa ‘neno la hekima’
↧