Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge Lachafuka......Mwanasheria mkuu wa Zanzibar anusurika kupigwa

$
0
0
Licha ya Bunge Maalum la Katiba (BMK) kuunda Kamati ya Mashauriano ili kusaka theluthi mbili ya kura za upande wa Zanzibar, Bunge hilo jana lilichafuka baada ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othuman, baada ya kupiga kura ya wazi akikataa sura na ibara kadhaa za Rasimu inayopendekezwa. Hali hiyo ilisababisha vurugu na hasira kutoka kwa baadhi ya wajumbe wa bunge hilo, na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles