Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Radi yajeruhi wanafunzi 17 Mwanza

$
0
0
Wanafunzi 17 wa Shule ya Sekondari Kabuholo wilayani Ilemela jijini Mwanza, wamejeruhiwa na radi kufuatia mvua kubwa ilioyonyeshwa jijini humo kwa saa moja. Tukio hilo lilitokea jana saa 1.45 asubuhi wakati  radi hiyo ilipowapiga wanafunzi wa kidato cha nne 15, mmoja kidato cha tatu na mwingine kidato cha kwanza. Akizungumza na mwandishi wetu jana, Mwalimu wa mazingira wa shule hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles