Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Samwel Sitta: Mnyika Kanitukana Matusi Mazito

$
0
0
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amelieleza Bunge hilo kuwa, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliamua kumtukana yeye na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge.    “Bwana mmoja Mnyika ameamua kututukana mimi na Chenge…ametuita maharamia mbele ya mkutano wa hadhara huko Mwanza.   “Mimi kwake ni baba yake na kama hawezi kuniheshimu, basi aniheshimu kama

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>