Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sitta amchimba mkwara mkewe

$
0
0
  Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alimchimba mkwara mkewe Margareth Sitta kuwa angepata tabu sana kama angekosea kupiga kura.    Mbali na Uenyekiti wa Bunge la Katiba, Sitta ni Mbunge wa Jimbo la Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na mkewe Margareth ni Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) na Mjumbe wa Bunge la Katiba.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>