Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Askari Watatu Wajeruhiwa kwa Bomu Songea, Ruvuma

Askari Polisi wakiwa eneo la tukio kuimarisha ulinzi Eneo la tukio  likiwa limezungushiwa alama na Jeshi la Polisi. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwangu akizungumza jambo  katika hospitali ya mkoa wa...

View Article


Mwenyekiti Wa CHADEMA Atinga Makao makuu ya Jeshi la Polisi Kuhojiwa huku...

Baadhi ya wapenzi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakishangilia baada ya gari lililokuwa limembeba Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, alipowasili leo Makao Makuu wa...

View Article


Vurugu makao makuu ya Polisi: Waandishi Wa Habari wapigwa na kufukuzwa kwa...

Vurugu zimezuka leo asubuhi katika makao makuu ya jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, muda mfupi baada ya Mwenyekiti taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo – Chadema, Freeman...

View Article

Dodoma nako Hali Haikuwa nzuri.....Baadhi ya barabara zilifungwa kwa Muda,...

  Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi EMMANUEL G. LUKULA (ACP) akiongea na waandishi wa habari. ******* Polisi  Mkoani  Dodoma  leo  asubuhi  ililazimika  kuzifunga...

View Article

Picha: Muigizaji mkubwa aliyedai amenyanyaswa na polisi, alikutwa akifanya...

Ukweli haufichiki daima labda kuuchelewesha tu! Ndicho kinachomkuta muigizaji wa kike wa filamu ya ‘Django Unchained’ wa Marekani, Daniele Watts aliyewapa wakati mgumu polisi wa Los Angeles kwa...

View Article


Kinana Awaponda Wapinzani kwa tabia yao ya kuandaa Maandamano badala ya...

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati) akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Maneromango jana wakati wa ziara yake wilayani Kisarawe, Pwani ya  kuimarisha uhai wa chama na kukagua...

View Article

Jeshi la Polisi nchini Lathibitisha kuwa Mlipuko Uliowajeruhi Askari Polisi...

JESHI la polisi nchini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa ni bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na...

View Article

Nicki Minaj aalikwa kuzungumza na wanafunzi wa shule nyingine baada ya...

Nicki Minaj amealikwa kwenda kuzungumza na wanafunzi wa shule ya jijini New York baada ya ombi lake la kutembelea shule aliyosomea kukataliwa wiki iliyopita. Hivi karibuni rapper huyo alizungumza na...

View Article


Habari Kamili kuhusu Vurugu za CHADEMA Zilizosababisha Barabara na Vituo vya...

Mtikisiko mkubwa wa kisiasa jana umelikumba taifa, baada ya wafuasi wa Chadema kupambana na polisi katika maeneo mbalimbali.   Hali hiyo, ilianza kuonekana mapema jijini Dar es Salaam, wakati...

View Article


Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa...

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha...

View Article

Watoto Wamuua Baba yao kwa Fimbo wakimtuhumu kuuza Chakula cha Familia

JESHI la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watoto watatu, kwa tuhuma za kumpiga fimbo kichwani baba yao mzazi na kumsababishia kifo.   Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera, Gilles Muroto,...

View Article

Mwanaume Amuua Mkewe kwa Nyundo......Achukua Watoto na kutokomea kusikojulikana

Mwanaume mmoja mkoani Katavi anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mkewe kwa kumpiga nyundo kichwani kisha kuufungia mwili wa marehemu ndani ya nyumba.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahiri...

View Article

UJASILIAMALI: Kwa nini Wengi hawafanikiwi kwa Biashara ya Duka??

Wengi wamekuwa na ndoto za kufungua maduka wakiamini yanaweza kuwa daraja la kuelekea kwenye mafanikio. Siyo mbaya kwani nawajua wengi tu ambao wamefanikiwa kwa kuanzisha vioski, baadaye maduka na...

View Article


Nape Ageuka Mbogo: Amtaka Mbowe Amtangulize Mkewe na Watoto wake wakati wa...

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Bw. Nape Nnauye, amewataka wananchi wasikubali kuandamana kwa shinikizo la viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ili kushinikiza Bunge Maalumu la...

View Article

Mbakaji Ahukumiwa Kuchapwa Viboko 20 Nkasi mkoani Rukwa

MKAZI wa Kijiji cha Karundi, Wilaya ya Nkasi, mkoani Rukwa, Moses Kang'ombe (17), amehukumiwa adhabu ya kuchapwa viboko 20 baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji na kusababisha mimba.   Hukumu hiyo...

View Article


Serikali za Tanzania na Malawi Zasema hazina tofauti juu ya mpaka wa ziwa Nyasa

Na Mbeya Yetu Blog , Lilongwe Malawi. Waziri wa Habari,Utalii na Utamaduni nchini Malawi Mheshimiwa Kondwani Nankhumwa alisema kuwa Serikali ya Malawi haina mgogoro na Serikali ya Tanzania kuhusiana...

View Article

Update: Polisi Wavamia Ofisi za CHADEMA Mkoani Morogoro

Habari  zilizotufikia  hivi  punde  zinaarifu  kuwa  Polisi wamevamia    ofisi  za  CHADEMA  wilaya  ya  Morogoro  na  kuwakamata  Viongozi  waandamizi  Watano  wa  chama  hicho  waliokuwa...

View Article


Kitabu cha "Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi" sasa kinapatikana Bure...

Habari  za  leo  ndugu  wapenzi  wasomaji. Tunapenda  kuwafahamisha  kuwa, tumepewa  idhini   na mwandishi  pamoja  na  wachapishaji  wa  kitabu  cha “Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi“.   Habari...

View Article

Vanessa Mdee: Jux ni rafiki yangu tu, hakuna zaidi

Vanessa Mdee aka Vee Money amekanusha tetesi zilizopo kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na muimbaji wa ‘Nitasubiri’ Jux. Siku za hivi karibuni, Vanessa na Jux wamekuwa karibu kiasi cha watu kuhisi kuwa...

View Article

Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots

Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live