Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watoto Wamuua Baba yao kwa Fimbo wakimtuhumu kuuza Chakula cha Familia

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watoto watatu, kwa tuhuma za kumpiga fimbo kichwani baba yao mzazi na kumsababishia kifo.   Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera, Gilles Muroto, alisema tukio hilo ni la mwezi Septemba 15, mwaka huu katika Kijiji cha Mkunyu Kata ya Kikukuru Tarafa ya Mabira wilayani Kyerwa.   Alisema siku ya tukio, watuhumiwa hao, ambao hakuwataja

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>