Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Tamasha la Seremgeti Fiesta 2014 Ladondosha burudani ya Nguvu kwa Wakazi wa...

Ilikuwa buruuudani ya kusambaza upendo wa kweli kwa wakazi wa Tabora ndani ya tamasha la Fiesta Msanii mwingine anaekuja vyema kwenye anga ya muziki wa Bongofleva aitwaye Kadja ambaye anatamba na...

View Article


Kivazi Cha Jini Kabula Aibu Tupu....."Maziwa" Yote Nje!

Mwanadada kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ amewaacha watu midomo wazi baada ya kutinga kivazi kilichomuacha wazi mwili wake. Jini Kabula alitinga kivazi hicho kwenye...

View Article


Tuhuma za Usagaji: Aunt Lulu Ampigia Magoti mama yake

Staa wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ amefunguka kuwa skendo ya kujihusisha ya vitendo vya kisagaji inayomuandama imemsababishia msala mkubwa kwa mama yake na kuamua kumuomba radhi....

View Article

Tabora wamkataa Nuh Mziwanda......Wasema hawezi kuwa mume wa Shilole

Nuh Mziwanda jana alijikuta katika wakati mgumu mjini Tabora baada ya Shilole kuwauliza wakazi wa mkoa huo anakotokea iwapo Nuh Mziwanda anafaa kuwa mume wake. Shilole ambaye ni mchumba wa Nuh...

View Article

Bunge La Katiba lachafuka....Wajumbe washambuliana kwa maneno makali, Sitta...

BUNGE Maalum la Katiba limechafuka wakati wa Majadiliano ya Taarifa za Kamati baada ya Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Kessy kusema Serikali ya Zanzibar inatumia fedha za Tanzania Bara kuendesha...

View Article


Mahakama kuu yatupilia Mbali Maombi ya Pingamizi la kusimamisha Bunge la Katiba

MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam jana imetupilia mbali maombi ya pingamizi la awali la kusimamisha  Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma, iliyofunguliwa na  Mwandishi wa Habari Said...

View Article

Trafiki Aliyegongwa na Daladala Afariki Dunia

ASKARI wa usalama barabarani, aliyejulikana kwa jina moja la Riziki, WP 2806 CPL Riziki, aliyegongwa na daladala aina ya DCM wakati akiwa katika harakati za kutimiza majukumu ya kazi eneo la Mbagala...

View Article

Dr. Slaa Ateuliwa tena kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amewateua Dk. Willbrod Slaa kuwa Katibu Mkuu, John Mnyika kuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na Salum Mwalim ambaye anakuwa...

View Article


Mwanamke Mchawi Adondoka Kanisani

Ni kwenye Kanisa la Paradise Internation Ministries lililoko Karakata Ukonga jijini Dar, mwanamke mmoja (pichani) anayedaiwa mchawi alidondoka usiku wa saa saba na kujikuta hawezi kutembea. Tukio hilo...

View Article


Damu Yamwagika tena Mkoani Geita.....Mvuta Bangi Aua Watu watatu na kumjeruhi...

Matukio ya mauaji ya watu wasio na hatia, yameendelea kuuandama Mkoa wa Geita, kufuatia watu watatu kuuawa kwa kukatwa mapanga na kuchomwa mkuki huku mmoja akijeruhiwa baada ya mtu mmoja anayesadikiwa...

View Article

Polisi na Wabunge Wamshutumu Mbowe kujifanya Amiri Jeshi Mkuu na kutangaza...

KAULI ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ya kuagiza yafanyike maandamano na migomo nchi nzima bila kikomo, ikiwezekana hata bila ya kibali cha Polisi, imelichefua Jeshi la Polisi.    Jeshi hilo...

View Article

Mkuu wa Kituo cha Polisi Anusurika Kuuawa na Wananchi baada ya kufamaniwa...

Mkuu wa kituo cha polisi cha Nyamboge kilichopo katika kata ya Katoma wilayani Geita mkoani Geita amenusurika kuuawa na wananchi wenye  hasira kali  baada ya kukutwa akitaka kufanya mapenzi na...

View Article

Mabinti Pacha Walioungana kuhitimu kidato cha nne Makate

Hatua ya kwanza ya ndoto ya kuzama katika elimu ya mabinti pacha walioungana kiwiliwili, Consolata na Maria Mwakikuti (18) wa Kijiji cha Ikonda wilayani Makete  mkoa mpya wa Njombe, inatarajiwa...

View Article


Wawili Wafa katika AJALI Wakitoka kuzika mwenzao Musoma

Watu wawili wamekufa na wengine watano kujeruhiwa baada ya magari mawili, likiwamo basi dogo la abiria walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.   Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa...

View Article

Big Brother kutangaza majina matatu ya washiriki wa mwaka huu leo Alhamisi,...

Mashabiki wa shindano Big Brother Africa hawatosubiri hadi siku ya ufunguzi, October 5 kuwafahamu washiriki wa mwaka huu. Katika kuleta mambo mapya, M-Net na Endemol SA watakuwa wakitangaza majina ya...

View Article


Mbio za Mwenge kuzindua Miradi 72 Mkoani Mwanza

 Miradi 72 ya maendeleo ya Sh bil. 23 inatarajiwa kuzinduliwa na Mwenge wa Uhuru, utakaokimbizwa kwa siku nane mkoani  Mwanza, ambao utapokelewa leo kutoka mkoa wa Simiyu.   Hayo yalielezwa jana na...

View Article

Pingamizi la Mwanasheria Mkuu dhidi ya TLS Latupiliwa Mbali

Pingamizi la Mwanasheria Mkuu (AG) dhidi ya ombi la kibali cha kufungua kesi ya kupinga vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mkoani Dodoma limetupiliwa mbali katika Mahakama Kuu Kanda ya...

View Article


Maandamano ya CHADEMA Yaliyopangwa Kufanyika Leo yamepigwa Marufuku.....Vyuo...

Jeshi la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyotarajiwa kuanza kufanyika leo katika maeneo mbalimbali nchini.   Jeshi hilo limeonya kuwa...

View Article

Mtuhumiwa Kesi ya Ugaidi Awalalamikia Polisi kwa Kumminya Sehemu zake za Siri...

 Mtuhumiwa katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata...

View Article

Mwanafunzi wa Kidato cha tano Ajinyonga akiwa Hospitalini.....Chanzo cha...

Katika hali isiyotarajiwa, mwanafunzi wa Kidato cha Tano katika Shule ya Sekondari ya Wavulana Ihungo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Ezra Gerald (19), amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shuka ya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>