MAHAKAMA
Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam jana imetupilia mbali maombi ya
pingamizi la awali la kusimamisha Bunge la Katiba linaloendelea mjini
Dodoma, iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea, kwa kuwa
wametumia kifungu cha sheria kisicho sahihi.
Kadhalika,
mahakama hiyo imetupilia mbali pingamizi hilo la awali, kwa kuwa
mlalamikaji ametumia kifungu cha sheria namba
↧