ASKARI wa
usalama barabarani, aliyejulikana kwa jina moja la Riziki, WP 2806 CPL
Riziki, aliyegongwa na daladala aina ya DCM wakati akiwa katika harakati
za kutimiza majukumu ya kazi eneo la Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es
Salaam jana asubuhi amefariki dunia leo.
Mpaka mauti yanamfika, marehemu alikiuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
↧