Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge La Katiba lachafuka....Wajumbe washambuliana kwa maneno makali, Sitta Aingilia kati

$
0
0
BUNGE Maalum la Katiba limechafuka wakati wa Majadiliano ya Taarifa za Kamati baada ya Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Kessy kusema Serikali ya Zanzibar inatumia fedha za Tanzania Bara kuendesha mambo yake ikiwemo kulipwa mishahara.   Wajumbe kutoka Zanzibar wamemshambulia kwa maneno makali wakidai kawavunjia heshima hali iliyopelekea Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>