BUNGE Maalum la
Katiba limechafuka wakati wa Majadiliano ya Taarifa za Kamati baada ya
Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Kessy kusema Serikali ya Zanzibar
inatumia fedha za Tanzania Bara kuendesha mambo yake ikiwemo kulipwa
mishahara.
Wajumbe
kutoka Zanzibar wamemshambulia kwa maneno makali wakidai kawavunjia
heshima hali iliyopelekea Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta
↧