Ni kwenye Kanisa la Paradise Internation Ministries lililoko Karakata
Ukonga jijini Dar, mwanamke mmoja (pichani) anayedaiwa mchawi
alidondoka usiku wa saa saba na kujikuta hawezi kutembea.
Tukio hilo lilijiri Septemba 13, mwaka huu wakati waumini wa kanisa hilo wakiwa wamezama kwenye maombi ya kufunga.
Ilidaiwa kuwa, waumini wa kanisa hilo wakiwa katika maombi hayo,
Nabii Gideon
↧