Matukio ya mauaji ya watu wasio na hatia, yameendelea kuuandama Mkoa wa
Geita, kufuatia watu watatu kuuawa kwa kukatwa mapanga na kuchomwa mkuki
huku mmoja akijeruhiwa baada ya mtu mmoja anayesadikiwa ni mgonjwa wa
akili kutekeleza unyama wake.
Tukio hilo lililotokea jana asubuhi katika kijiji cha Nyamilyango
wilayani Geita, na aliyejeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Wilaya
ya
↧