Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Damu Yamwagika tena Mkoani Geita.....Mvuta Bangi Aua Watu watatu na kumjeruhi mmoja kwa panga na mkuki

$
0
0
Matukio ya mauaji ya watu wasio na hatia, yameendelea kuuandama Mkoa wa Geita, kufuatia watu watatu kuuawa kwa kukatwa mapanga na kuchomwa mkuki huku mmoja akijeruhiwa baada ya mtu mmoja anayesadikiwa ni mgonjwa wa akili kutekeleza unyama wake. Tukio hilo lililotokea jana asubuhi katika kijiji cha Nyamilyango wilayani Geita, na  aliyejeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Wilaya ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles