Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi na Wabunge Wamshutumu Mbowe kujifanya Amiri Jeshi Mkuu na kutangaza Vita ya Maandamano.....Wasema amevuka mipaka, Vijana waonywa

$
0
0
KAULI ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ya kuagiza yafanyike maandamano na migomo nchi nzima bila kikomo, ikiwezekana hata bila ya kibali cha Polisi, imelichefua Jeshi la Polisi.    Jeshi hilo limeonya kuwa halitasita kumchukulia hatua kali, kwa kuwa anavuka mipaka ya kisiasa na kugeukia makosa ya jinai.   Aidha, limemtaka kuacha mara moja kuihamasisha jamii, kutofuata sheria na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles