Ilikuwa buruuudani ya kusambaza upendo wa kweli kwa wakazi wa Tabora ndani ya tamasha la Fiesta
Msanii
mwingine anaekuja vyema kwenye anga ya muziki wa Bongofleva aitwaye
Kadja ambaye anatamba na wimbo wake wa Maumivu niache akiimba pamoja
na Linah.
Mkali wa Bongo Hip Hop Farid Kubanda a.k.a Fid Q akikamua vilivyo juu ya jukwaa na la Fiesta.
Msanii
wa
↧