Mashabiki wa shindano Big Brother Africa hawatosubiri hadi siku ya ufunguzi, October 5 kuwafahamu washiriki wa mwaka huu.
Katika kuleta mambo mapya, M-Net na Endemol SA watakuwa wakitangaza majina ya washiriki wa mwaka huu live kupitia website yake maalum iliyozinduliwa jana Jumatano.
Washiriki watatu wa Big Brother watakuwa wakitambulishwa kila siku kuanzia leo Alhamis, 18
↧