Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mbio za Mwenge kuzindua Miradi 72 Mkoani Mwanza

$
0
0
 Miradi 72 ya maendeleo ya Sh bil. 23 inatarajiwa kuzinduliwa na Mwenge wa Uhuru, utakaokimbizwa kwa siku nane mkoani  Mwanza, ambao utapokelewa leo kutoka mkoa wa Simiyu.   Hayo yalielezwa jana na Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo wakati akitoa taarifa ya mwenge huo, iliyosomwa kwa niaba yake na Mratibu wa Mbio za mwenge mkoani hapa, Diana Rwechungura.   Alisema thamani hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>