Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtuhumiwa Kesi ya Ugaidi Awalalamikia Polisi kwa Kumminya Sehemu zake za Siri na kumchomeka Mti sehemu za haja kubwa

$
0
0
 Mtuhumiwa katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata sehemu za siri alikominywa na polisi na kuingiziwa mti kwenye haja kubwa. “Mheshimiwa Hakimu naomba mahakama yako inipe ruhusa ya kutohudhuria siku ya kesi, sababu ninapopanda gari napata maumivu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>