Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Video Inatisha: Magaidi wa ISIS Wamchinja na kumkata Kichwa Mateka Mwingine...

Taarifa zilizopatikana hivi punde zinaeleza kwamba kikundi cha kigaidi cha Dola ya Kiislamu (ISIS) kimemchinja kwa kumkata kichwa, David Haines, Mwingereza mfanyakazi wa shirika la misaada, kwa mujibu...

View Article


Big Brother Africa kuzinduliwa Tarehe 5 Mwezi juao

Shindano la Big Brother Hotshots litazinduliwa October 5, makampuni ya M-Net na Endemol SA yamesema. Makampuni hayo yamedai kuwa nyumba mpya ya Big Brother imepatikana jijini Johannesburg, Afrika...

View Article


Kipenga Kimepulizwa: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utafanyika Disemba...

KIPENGA cha kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, kinatarajiwa kupulizwa Novemba 30 mwaka huu na uchaguzi kufanyika Desemba 14 chini ya sheria zilizopo.   Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala...

View Article

Waathirika mabomu ya Mbagala walia fidia finyu

ZAIDI ya waathirika 1,000 milipuko ya mabomu Mbagala, wameomba Serikali kuingilia kati na kuwasaidia, ili wapate fidia inayostahili kutokana na mali na vitu vyao vilivyoharibiwa wakati wa mlipuko huo...

View Article

Majanga: Miley Cyrus apost picha akiwa anaoga mtupu bafuni

Wiki hii tuliandika habari kuhusu matumizi mabaya ya Instagram yaliyotajwa kuwa juu zaidi kwa watumiaji wa Tanzania.    Lakini vitendo vinavyofanywa na baadhi ya mastaa huko Ughaibuni havikubaliki...

View Article


Inaumiza Na Kukatisha Tamaa Tunapoandikwa Kwa Habari Za Uongo Kwenye Magazeti...

Muigizaji maarufu wa filamu Tanzania 'Johari' Blandina Chagula amsema kuwa kuandikwa vibaya na uzushi kwa mambo yanayodhalilisha ndiyo mambo yanayokwaza na kukatisha tamaa katika uigizaji.Akizungumza...

View Article

Natafuta Dancers Wa Kike Kwa Muda Mrefu Ila Bado Kupata Wenye Viwango Vya...

Licha ya kuonekana na madansa wa kike katika jukwaa la Fiesta 2014 Mwanza, Diamond anasema hajabahatika kumpata dansa wa kike mwenye vigezo anavyovitaka. “Sina madansa wa kike pale wawili ni wa...

View Article

Shilole Amfanyia MAHABA NIUE Nuh Mziwanda...Mcheki akiwa ndani ya Bikini,...

Kupitia  Account  yake  ya  Instagram, Shilole  amezitupia  hizi  picha  akiwa  na  Jamaa  yake( Nuh Mziwanda)  huku  mashabiki  wake  zaidi  ya  laki  moja  wakiambulia  kusuuza  macho  kwenye...

View Article


Huddah Monroe Azindua Vazi lake jipya Akiwa Uchi wa Mnyama!

Msanii  maarufu  wa  Kenya, Huddah  Monroe  amezindua  vazi  lake  jipya  kwa  staili  ya  kipekee  na  ya  aina  yake.....   Katika  uzinduzi  huo, mrembo  huyo  ameamua  kujianika  hadharani  akiwa...

View Article


Hamisa Mobeto Asaula Nguo mbele ya Mashabiki

Hamisa Mobeto fronted up to her instagram fans when she posted a photo while topless in a hot rhinestone silver shining bra and a matching tight skirt.. to which she captioned "Flash Back"......

View Article

Wanawake Acheni Vigenge Vya Umbeya Na Kuwa Magolikipa Kwa Wanaume: Happy...

Muigizaji maarufu wa filamu nchini Happy Nyatawe ambaye pia ni mfanyabiashara amewaasa wanawake wenzake kuacha kuwa magolikipa kwa wanaume na pia kuacha umbeya na badala yake wajikite katika kazi ili...

View Article

Serengeti Fiesta 2014 Yafunika Ndani ya Geita

Mkali kutoka pande za Mwanza, Young Killer akichana mistari stejini.Ommy Dimpoz akiimba kwa pamoja na mrembo kutoka pande za Geita nyimbo ya ME & YOU. Niki wa Pili akiwakilisha Crew ya Weusi....

View Article

Uchaguzi mkuu CHADEMA Waanza ......Hizi ni picha toka ukumbi wa Mlimani City...

Meza Kuu ya viongozi wa Chadema kabla ya mkutano kuanza. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akiwapungia mkono wajumbe wa mkutano mkuu. Viongozi wa Chadema wakati wakiwasili katika uchaguzi...

View Article


Freeman Mbowe Ashinda tena Nafasi ya Uenyekiti CHADEMA

Freeman Mbowe ameshinda tena nafasi ya Uenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa baada ya kupata jumla ya kura 789 huku mpinzani wake Ngambaranyela Mongatero akipata kura 20....

View Article

Kikongwe Auawa kwa Kuchomwa kisu Tumboni na kutolewa Utumbo huko Kahama,...

Mkazi wa Kijiji cha Ilogi, wilayani Kahama, Ester Bundala (80), ameuawa kikatili kwa kuchomwa kisu tumboni na kutolewa utumbo baada ya watu waliojifanya wagonjwa kwenda nyumbani kwake kuomba msaada wa...

View Article


Baba Afungia Ndani Watoto 4 miezi 10.....Walishwa mlo mmoja kama wafungwa,...

Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Msimba wilayani Uvinza, Kigoma, anashikiliwa na Polisi akidaiwa kufungia watoto wake wanne ndani ya nyumba na kuwashindisha njaa kwa takribani miezi 10.   Ofisi ya...

View Article

Freeman Mbowe atangaza Maandamano na Migomo isiyoisha Nchi Nzima

 Na  Salome  Kitomary-Nipashe Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe  ametangaza maandamano na migomo isiyokoma nchi nzima kushinikiza kuvunjwa Bunge Maalumu la...

View Article


Askari wa JWTZ Wakwaa tuhuma Nzito.....Wawafanyia ukatili mkubwa Vijana 11...

Katika  hali isiyo ya kawaida, askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanadaiwa kuwafanyia ukatili mkubwa vijana 11, wakazi wa eneo la Keko Magulumbasi B, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam kwa...

View Article

Picha: Uzinduzi wa Video Mbili za Profesa Jay Ulivyokonga Nyoyo za Mashabiki

Nguli wa Muziki wa Kizazi kipya, Joseph Haule a.k.a Professa J jana aliweza kufanya vyema katika uzinduzi wa video zake mbili, 'Kipi Sijakisikia' na 'Tatu Chafu' uliofanyika jijini Dar es Salaam....

View Article

Video Mpya: Hizi ndo Video mbili Zilizozinduliwa na Profesa Jay Jana.....Tatu...

Joseph Haule a.k.a Professor Jay ameachia video zake mbili kwa mpigo,’Tatu Chafu’ aliyofanya na director Hefemi pamoja na Kipi Sijasikia iliyoongozwa na Adam Juma. 1.Tatu  Chafu 2. Kipi Sijasikia

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>