Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kikongwe Auawa kwa Kuchomwa kisu Tumboni na kutolewa Utumbo huko Kahama, Shinyanga

$
0
0
Mkazi wa Kijiji cha Ilogi, wilayani Kahama, Ester Bundala (80), ameuawa kikatili kwa kuchomwa kisu tumboni na kutolewa utumbo baada ya watu waliojifanya wagonjwa kwenda nyumbani kwake kuomba msaada wa kuchemshiwa dawa. Wauaji hao pia walimchoma bibi huyo kisu sehemu ya moyo, mbavu na mkono wa kulia na kutokomea kusikojulikana. Mtoto wa bibi huyo, Francis Paulo, akiongea kwa Uchungu 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>