Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baba Afungia Ndani Watoto 4 miezi 10.....Walishwa mlo mmoja kama wafungwa, mama akimbia na mtoto wa 5.... amfia mkononi akimuuguza

$
0
0
Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Msimba wilayani Uvinza, Kigoma, anashikiliwa na Polisi akidaiwa kufungia watoto wake wanne ndani ya nyumba na kuwashindisha njaa kwa takribani miezi 10.   Ofisi ya Ustawi wa Jamii, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, iliwabaini watoto hao hivi karibuni kijijini Sunuka, wilayani Uvinza. Kati yao, watatu ni wa kiume.   Mkubwa ana umri wa miaka minane

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>