Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Msimba wilayani Uvinza, Kigoma, anashikiliwa na Polisi akidaiwa kufungia watoto wake wanne ndani ya nyumba na kuwashindisha njaa kwa takribani miezi 10.
Ofisi ya Ustawi wa Jamii, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, iliwabaini watoto hao hivi karibuni kijijini Sunuka, wilayani Uvinza. Kati yao, watatu ni wa kiume.
Mkubwa ana umri wa miaka minane
↧