Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari wa JWTZ Wakwaa tuhuma Nzito.....Wawafanyia ukatili mkubwa Vijana 11 wakazi wa Keko kwa kuwalazimisha kunywa maji yenye KINYESI

$
0
0
Katika  hali isiyo ya kawaida, askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanadaiwa kuwafanyia ukatili mkubwa vijana 11, wakazi wa eneo la Keko Magulumbasi B, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam kwa kuwapiga na kuwalazimisha wanywe maji machafu yenye kinyesi.   Tukio hilo ambalo limefananishwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, linadaiwa kutokea Septemba 12 mwaka huu, saa 11 jioni,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>