Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Video Inatisha: Magaidi wa ISIS Wamchinja na kumkata Kichwa Mateka Mwingine Raia wa Uingereza....

$
0
0
Taarifa zilizopatikana hivi punde zinaeleza kwamba kikundi cha kigaidi cha Dola ya Kiislamu (ISIS) kimemchinja kwa kumkata kichwa, David Haines, Mwingereza mfanyakazi wa shirika la misaada, kwa mujibu wa video iliyosambazwa na kikundi hicho.   Video ya mauaji hayo ya kinyama inaanza kwa kuonyesha hotuba ya Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron kuhusu Iraki, ikifuatiwa na ujumbe kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles