Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali za Tanzania na Malawi Zasema hazina tofauti juu ya mpaka wa ziwa Nyasa

$
0
0
Na Mbeya Yetu Blog , Lilongwe Malawi. Waziri wa Habari,Utalii na Utamaduni nchini Malawi Mheshimiwa Kondwani Nankhumwa alisema kuwa Serikali ya Malawi haina mgogoro na Serikali ya Tanzania kuhusiana na mpaka wa ziwa Nyasa.   Aliyasema hayo baada ya kukutana na Jopo la Waandishi Habari wa Mkoa wa Mbeya waliotembelea ofisini kwake katika mfululizo wa ziara ya waandishi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>