Na Mbeya Yetu Blog , Lilongwe Malawi.
Waziri wa Habari,Utalii na Utamaduni nchini Malawi Mheshimiwa
Kondwani Nankhumwa alisema kuwa Serikali ya Malawi haina mgogoro na
Serikali ya Tanzania kuhusiana na mpaka wa ziwa Nyasa.
Aliyasema hayo baada ya kukutana na Jopo la Waandishi Habari wa
Mkoa wa Mbeya waliotembelea ofisini kwake katika mfululizo wa ziara ya
waandishi
↧