Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwenyekiti Wa CHADEMA Atinga Makao makuu ya Jeshi la Polisi Kuhojiwa huku akisindikizwa na Wanachama wake.....Vurugu Zaibuka, wananchi watawanywa

$
0
0
Baadhi ya wapenzi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakishangilia baada ya gari lililokuwa limembeba Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, alipowasili leo Makao Makuu wa Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, kwa mahojiano. Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakimpa kichapo mwandishi wa habari wa gazeti la Tanzania Daima, Josephat Isango, nje ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>