Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari Watatu Wajeruhiwa kwa Bomu Songea, Ruvuma

$
0
0
Askari Polisi wakiwa eneo la tukio kuimarisha ulinzi Eneo la tukio  likiwa limezungushiwa alama na Jeshi la Polisi. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwangu akizungumza jambo  katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma baada ya kuwatembelea majeruhi hao. Kamati ya ulinzi na Usalama wakiwa Hospital ya mkoa wa Ruvuma. Aliye lala kitandani ni WP ambaye amejeruhiwa akiwa amelazwa katika hospital ya Mkoa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>