Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Diamond Ataka Wema Amzalie Mtoto .....Wema Akataa Kuogopa Kupoteza Mvuto Na...

Diamond Platnumz kwa muda sasa amekuwa akimwambia mpenzi wake Wema Sepetu abebe mimba kwasababu yeye anataka mtoto lakini Wema amekuwa mgumu kukubali kudungwa mimba na Diamond kwasasa kwa madai kuwa...

View Article


Nina Watoto Watatu Na Kila Mmoja Ana Mama Yake: Ali Kiba

Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva nchini Ali Kiba amesema kuwa ana watoto watatu na kila mmoja ana mama yake.   Akizungumza na jarida moja la burudani kiba aliyetoa nyimbo mbili mpya hivi karibuni...

View Article


Picha: Petit Man Na Esma Dada Yake Diamond Platnumz Wafunga Ndoa.

Esma Platnumz ambaye ni dada wa Diamond Platnumz  amefunga ndoa  jana  na Petit Man ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya Wema Sepetu ya Endless Fame Productions.   Petit Man pia ni meneja wa mwanamuziki...

View Article

Msanii wa Bongo Fleva ( Mez B) Awatia Aibu Mabinti baada ya kuwalazimisha...

Msanii wa kitambo wa Bongo Fleva aliyewahi kutamba na Kundi la Chamber Squad na ngoma yake ya taifa ya Kama Vipi, Moses Bushagama ‘Mez B’ anadaiwa kuwaaibisha ma-miss kwa kuwalazimisha kupiga nao...

View Article

Vurugu za CHADEMA: Watu 8 wakamatwa na jeshi la Polisi....Watatu wafikishwa...

SIKU moja baada ya Jeshi la Polisi kudhibiti maandamano yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wafuasi watatu wa chama hicho wamefikishwa mahakamani jijini Dar es Salaam na...

View Article


CHADEMA Wasisitiza kuwa Maandamano Bila Kikomo

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesisitiza kuwapo kwa maandamano yasiyo na kikomo yatakayoanza leo katika baadhi ya mikoa licha ya jeshi la polisi kuzuia. Chama hicho kimesema...

View Article

Shule zafungwa jijini Dar kuhofia watoto kutekwa....Magari aina ya Noah...

Uvumi wa kuwapo kwa watu wanaoteka nyara watoto kwa kutumia magari aina ya Noah, umeleta mtafaruku katika shule saba za msingi Manispaa ya Temeke, na kusababisha wazazi kuvamia shule hizo na kufungwa...

View Article

Rais Kikwete Ahudhuria Hafla ya Kumpongeza kwa Uongozi Mzuri

Rais Jakaya Kikwete akiwa na mtoto wa miaka minane aliejitambulisha kwa jina la Brian ambaye alitoa burudani ya kupiga kinanda wakati wa wimbo wa Taifa na nyimbo nyinginezo katika hafla ya USIKU WA...

View Article


Tangazo la Nafasi za Ajira toka Jeshi La Magereza Tanzania

Jeshi la Magereza Tanzania Bara linatangaza nafasi za Mafunzo ya Awali ya Askari Magereza yatakayoendeshwa Chuo cha Magereza Kiwira Tukuyu Mbeya. Waombaji wa nafasi hizo wanatakiwa kuwa na sifa...

View Article


Diamond azua vurugu nyingine Uingereza

Mwanamuziki Diamond Platnumz kwa mara nyingine tena usiku wa kuamkia jana alisababisha vurugu kubwa nchini Uingereza baada ya kushindwa kutumbuiza katika ukumbi wa LaFace Club uliopo jijini London....

View Article

Ongeza mvuto kwa shanga za Kiafrika

Na Kelvin Matandiko-Mwananchi Kwa miaka mingi, jamii za Kiafrika zilikuwa na mazoea yaliyojengewa msingi katika mila na utamaduni kupitia ulimbwende wa kunogesha vazi kwa ladha ya shanga.   Waafrika...

View Article

Serikali Haitataifisha Shule Wala Hospitali --Waziri Mkuu

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali haitataifisha shule, zahanati, hospitali wala Vyuo Vikuu vinavyoendeshwa na taasisi za kidini na amewahimiza wajenge zaidi na zaidi ili kuisaidia jamii kubwa...

View Article

Kukua au kujaa matiti kwa mwanaume

Kwa kawaida mwanaume ameumbwa kuwa na matiti madogo, ugonjwa wa wanaume kuwa na matiti makubwa kama wanawake huleta usumbufu hasa wa kisaikologia kwa mwanume husika.   Kuna hatua au makundi matatu...

View Article


Maandamano ya Chadema yazimwa ....Yalipangwa kufanyika Arusha, Iringa na...

Jiji la Arusha jana lilikumbwa na taharuki kufuatia askari polisi kuzingira barabara na maeneo kadhaa ya jiji hilo baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kuendelea na...

View Article

Hasara wanazopata watoto kwa kudekezwa

Ni siku nyingine wajukuu zangu yenye baraka na neema, kwasababu tumekutana tena na kujadili mambo mazuri, lengo likiwa kufahamishana na kuelekezana mambo mema.   Kama utakuwa mwerevu kama yule rafiki...

View Article


Big Brother Africa 2014: Mshiriki wa pili wa Tanzania atajwa

M-Net wameendelea na utaratibu wa kutangaza washiriki wa shindano hilo kutoka nchi mbalimbali Africa, na katika majina matatu yaliyotajwa yamemjumuisha Mtanzania wa pili atakayewakilisha katika...

View Article

Picha za utupu za Rihanna, Gabrielle Union na Kim Kardashian zavuja

Rihanna, Gabrielle Union na Kim Kardashian wameingia rasmi kwenye msululu wa mastaa wa Marekani ambao picha zao za utupu zimevuja mtandaoni. Mapema Jumapili ya jana picha mbili za utupu za Rihanna...

View Article


Mariah Carey adaiwa kuzama kimahaba kwa muongozaji wa filamu

Mariah Carey anadaiwa kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na muongozaji wa filamu, Brett Ratner baada ya ndoa yake na Nick Cannon kuvunjika. Muimbaji huyo, 44 anadaiwa kuwa karibu na muongozaji huyo, 45,...

View Article

Waliopoteza maisha kwenye kanisa lililoanguka la TB Joshua wafikia 115

Idadi ya watu waliopoteza maisha kufuatia kuanguka kwa jengo lililopo kwenye kanisa la TB Joshua jijini Lagos, Nigeria, imefikia watu 115, kwa mujibu wa serikali ya Afrika Kusini. Waziri Jeff Radebe...

View Article

Mtu mmoja Auawa na Wananchi baada ya Kumuua Mkewe Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.        Watu wawili wameuawa Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>