Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Watu wawili wameuawa Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti.
Kamanda
wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID
MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea mnamo tarehe 20/09/2014
majira ya saa 23:30hrs katika Kijiji cha Mzogole Wilayani Mpwapwa Mkoani
Dodoma
↧