Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtu mmoja Auawa na Wananchi baada ya Kumuua Mkewe Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma

$
0
0
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.        Watu wawili wameuawa Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea mnamo tarehe 20/09/2014 majira ya saa 23:30hrs katika Kijiji cha Mzogole Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>