Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waliopoteza maisha kwenye kanisa lililoanguka la TB Joshua wafikia 115

$
0
0
Idadi ya watu waliopoteza maisha kufuatia kuanguka kwa jengo lililopo kwenye kanisa la TB Joshua jijini Lagos, Nigeria, imefikia watu 115, kwa mujibu wa serikali ya Afrika Kusini. Waziri Jeff Radebe wa Afrika Kusini Jumatatu hii ameitaka serikali ya Nigeria inayokosolewa vikali kufanya uchunguzi juu ya tukio hilo. Tukio hilo lililotokea Sept 12 kwenye eneo la kanisa la mhubiri maarufu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>