Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mariah Carey adaiwa kuzama kimahaba kwa muongozaji wa filamu

$
0
0
Mariah Carey anadaiwa kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na muongozaji wa filamu, Brett Ratner baada ya ndoa yake na Nick Cannon kuvunjika. Muimbaji huyo, 44 anadaiwa kuwa karibu na muongozaji huyo, 45, kumsaidia kusahau kuachana na Nick waliyedumu kwa miaka sita.   Carey na Ratner walianza kuwa marafiki baada ya muongozaji huyo kuongoza video za nyimbo zake Heartbreaker na We Belong

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>