Uvumi
wa kuwapo kwa watu wanaoteka nyara watoto kwa kutumia magari aina ya
Noah, umeleta mtafaruku katika shule saba za msingi Manispaa ya Temeke,
na kusababisha wazazi kuvamia shule hizo na kufungwa kwa muda.
Hata hivyo, katika baadhi ya shule hizo kumeripotiwa kutokea vurugu
kiasi cha jeshi la polisi kuingilia kati kutawanya watu waliotaka
kuvunja mageti ya kuingilia kwenye shule
↧