Mwanamuziki Diamond Platnumz kwa mara nyingine tena usiku wa
kuamkia jana alisababisha vurugu kubwa nchini Uingereza baada ya
kushindwa kutumbuiza katika ukumbi wa LaFace Club uliopo jijini London.
Hii ni mara ya pili kwa Diamond kusababisha vurugu
nchi za ughaibuni baada ya Septemba 1, kusababisha vurugu katika mji wa
Stuttgart nchini Ujerumani aliposhindwa kufika kwa wakati
↧