Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maandamano ya Chadema yazimwa ....Yalipangwa kufanyika Arusha, Iringa na Morogoro

$
0
0
Jiji la Arusha jana lilikumbwa na taharuki kufuatia askari polisi kuzingira barabara na maeneo kadhaa ya jiji hilo baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kuendelea na maandamano hayo licha ya kuzuiwa na polisi. Hata hivyo, maandamano hayo yaliyopangwa kupinga kuendelea kwa Bunge Maalumu la Katiba, mjini Dodoma, hayakufanyika. Chadema jana ilitangaza kufanyika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>