Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Hamisa Mabeto Apangua tuhuma kuwa ana msururu wa mabwana

Modo maarufu Bongo, Hamisa Mabeto amekanusha vikali taarifa za kuwa ana msururu wa mabwana kama inavyosambaa kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Hamisa alisema...

View Article


Watuhumiwa 7 wa Mauaji ya Albino watiwa mbaroni......Yumo Mganga wa kienyeji,...

JESHI la polisi mkoani Simiyu limefanikiwa kuwakamata watu saba wanaodhaniwa  kuwa wauwaji wa aliyekuwa mlemavu  wa ngozi (albino) Munghu Mugata (40) aliyeuwawa kwa kukatwa mapanga  mnamo mwezi mei...

View Article


Waziri Magufuli Apata Pigo.....Wachina wake wa Samaki Waachiwa huru....Waanza...

Baada ya kusota rumande kwa miaka mitano hatimaye raia wawili wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali wameachiwa huru katika...

View Article

Apandishwa Kizimbani kwa Kumnajisi Binti yake wa Kumzaa

Mkazi wa kijiji cha Nyangae, Kata ya Bukumbi wilayani Uyui, Shimba Kajolo ameburuzwa mahakamani akituhumiwa kumnajisi binti yake wa miaka 12.   Imeelezwa mahakamani kwamba alifanya kitendo hicho kwa...

View Article

Uchawi, Safari za Kuzimu na maswali ya Aibu kwa washiriki wa Bibi Bomba...

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo pamoja na kutoza faini  ya takribani Sh milioni 5 kwa kituo cha redio na televisheni cha Clouds, kwa kukiuka kanuni za utangazaji za mwaka 2005....

View Article


Vifaa vya Kuwatambua Wenye Ebola Vyawasili nchini

Serikali imeanza kuingiza nchini vifaa vya kuwabaini watu wanaohisiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa homa kali ya ebola ambavyo vitawekwa kwenye viwanja vya ndege pamoja na baadhi ya maeneo ya mipakani....

View Article

Mtuhumiwa kesi ya Swissport alalamikia unyama wa polisi.....Adai kuingizwa...

Kesi ya wizi wa simu inayowakabili wafanyakazi sita wa Kampuni ya Kupakia na Kupakua mizigo ya Swissport, imechukua sura mpya baada ya mshitakiwa Hashim Idd (49) kudai amefanyiwa vitendo vya unyama...

View Article

Vibaka Wachomwa Moto hadi kufa baada ya kupora Pochi Tabata, Dar es salaam

Vijana wawili wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ambao hawakufahamika majina yao, wanaodaiwa kuwa ni vibaka  alfajiri ya leo wameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kumpora...

View Article


Interview: Meninah azungumzia kipindi chake cha tv, kilichotokea baada ya...

Mwimbaji wa Bongo Flava aliyewahi kuwa mshiriki wa shindano la Kuimba BSS, Meninah La Diva amefanya exclusive Interview na  Times Fm na kufunguka mengi ambayo hakuwahi kuyasema.   Katika mahojiano...

View Article


Diamond atangaza rasmi kufunga ndoa na Wema Sepetu. Apanga kufanya harusi...

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platinumz ametangaza ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Wema Sepetu anayosema itafungwa hivi karibuni.    Msanii huyo ghali zaidi nchini kwa sasa, ametamka...

View Article

Wasanii wa Serengeti Fiesta Tanga wamtembelea Mzee Njenje, azungumzia...

Msanii mkongwe wa muziki wa dansi Mabrouk Omar a.k.a Babu  Njenje (kushoto), akiongea na wasanii wa muziki wa kizazi kipya walipomtembelea nyumbani kwake mjini Tanga , msanii huyo kwa sasa...

View Article

Jux na Jackie Cliff wasemekana walikuwa wapenzi kwa miezi 7 kabla ya...

Miongoni mwa vitu ambavyo msanii Jux amekuwa akivikwepa kuzungumzia kila alipoulizwa ni kuhusu uhusiano wake na Jackie Cliff aliyekamatwa na madawa ya kulevya mwishoni mwa mwaka jana (2013) nchini...

View Article

Diamond atumia wimbo wa Taarab kuwakejeli wanaotaka aachane na Wema Sepetu

Diamond Platinumz amepost kwenye Instagram kipande cha wimbo wa Taarab kinachowakejeli wote wanaotaka yeye na mpenzi wake Wema Sepetu watengane.   Katika kipande hicho cha video, ameunganisha picha...

View Article


Tundaman: Iddi Azan ananiandaa kuwa Mbunge, 'napata ushauri kwa mheshimiwa...

Tundaman ameweka wazi mpango wa kuingia rasmi katika siasa na kukitafuta kiti cha ubunge katika uchaguzi mkuu baada ya 2015.   Akiongea na Times Fm, Tundaman ameeleza kuwa alipata moyo na wazo la...

View Article

Rais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa Waluguru na chifu Kungalu huko...

  Chifu wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14, akijiandaa kumtawaza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwa Chifu Msaidizi wa kabila hilo katika sherehe za aina yake zilizofanyika katika uwanja wa Shule ya...

View Article


Ni shida: Msichana ‘akitwerk’ kwenye wimbo wa Diamond ‘Kizaizai’ (Video)

Paki gari, weka wimbo wa Diamond ‘Kizaizai’, mpe camera rafiki yako arekodi, anza kukata viuno!!! Hicho ndicho kilichofanyika kwenye video hii unayokwenda kuishuhudia.Hutaona sura yake lakini utaenjoy.

View Article

Mwigulu Nchemba asitisha safari yake kwa muda ili kuokoa majeruhi wa Ajali ya...

Naibu Waziri wa Fedha,Mh.Mwigulu Nchemba akiangalia sehemu aliyokuwa amebanwa Kondakta wa Gari hilo (pichani) lililopata ajali jana katika barabara kuu ya Dar - Iringa kutokana na kugonga Ukuta...

View Article


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Aongoza harambee ya Mkapa Fellows jijini...

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika harambee ya kuchangia Mradi wa Mkapa Fellows kwenye hoteli ya JB Belmont jijini Mwanza August 23, 2014. Zaidi ya sh. Bilioni 1.3 zilichangwa. Waziri Mkuu,...

View Article

Mwanafunzi wa Darasa la Saba Abakwa na muuza genge

Kwenye Kituo cha Polisi cha Maturubai kilichopo Mbagala, Dar kuna faili la kesi namba MBL/RB/ 9817/2014- KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI ambalo linamsaka kijana Juma Athumani (30), mkazi wa Charambe,...

View Article

Batuli: Sitaki kusikia habari za Mtunisi.......Tulikuwa wapenzi zamani,...

YOBNESH Yusuph ‘Batuli’ anayekimbiza kunako soko la Bongo Movies, amefunguka kuwa hataki kusikia habari za aliyekuwa mpenzi wake aliye pia msanii mwenzake, Mtunisi kwani mapenzi yalishaisha....

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>