Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watuhumiwa 7 wa Mauaji ya Albino watiwa mbaroni......Yumo Mganga wa kienyeji, mtuhumiwa mmoja afariki dunia

$
0
0
JESHI la polisi mkoani Simiyu limefanikiwa kuwakamata watu saba wanaodhaniwa  kuwa wauwaji wa aliyekuwa mlemavu  wa ngozi (albino) Munghu Mugata (40) aliyeuwawa kwa kukatwa mapanga  mnamo mwezi mei  katika  kijiji cha Gasuma kata mwaubingi wilayani  bariadi. Akiongea na waandishi wa habari ofisi kwake, mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa ambaye pia ni mkuu wa mkoa Paschal Mabiti,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>