Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Katiba ya Tanganyika yaingizwa kwenye Muungano

WAKATI Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakiendelea na msimamo wa uwapo wa mfumo wa Serikali tatu, Bunge Maalumu la Katiba limeanza kujadili baadhi ya sura ambazo ziliachwa na iliyokuwa Tume ya...

View Article


Bomu larushwa ndani ya basi Kigoma, watatu wauawa, sita wajeruhiwa

Watu watatu wamekufa akiwepo mtoto mchanga na wengine sita kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria (Hiace) kurushiwa bomu na watu wasiojulikana huko Kasesema, Kigoma alfajiri ya leo.   Akithibitisha...

View Article


Makalio ya Aunty Lulu Yasababisha Ajali

Msanii wa filamu aliye pia mjasiriamali, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ametoa kali ya mwaka alipotoa kauli kwamba kutokana na makalio yake makubwa, anapokuwa anatembea barabarani husababisha ajali kwani...

View Article

Uhamiaji Yafanya Maamuzi Magumu.....Yafuta Ajira 228 Zilizotolewa kiupendeleo...

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imezifuta rasmi ajira 200 za nafasi ya Konstebo na Koplo wa Uhamiaji baada ya kupokea ripoti ya Kamati iliyoundwa kuchunguza tuhuma za upendeleo katika ajira hizo...

View Article

CHADEMA Watunga Wimbo Maalumu kwa Ajili ya Maandamano ya UKAWA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetunga wimbo maalumu kwa ajili ya maandamano yaliyopangwa na chama hicho na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ili kushinikiza Bunge...

View Article


Boko Haram Wateka kituo cha Polisi Nigeria

Kundi la wapiganaji  la Boko Haram wamevamia shule moja ya mafunzo ya kipolisi iliyopo kwenye kitongoji cha Gwoza  karibu na mpaka wa nchi ya Cameroon ambacho hufundisha maofisa wa Polisi nchini...

View Article

Aunt Ezekiel: Sidhani kama Wema Sepetu ni mtu wa kufundishwa...ana maisha yake

Aunt Ezekiel ambaye ni rafiki wa karibu wa Wema Sepetu, amejibu kauli ya Diamond Platinumz kuwa Wema ana marafiki wanaomfundisha tabia mbaya na kwamba kama anataka kuendelea aachane nao.   Akiongea na...

View Article

Rais Kikwete asafiri kwa Treni ya TAZARA katika ziara yake Mkoani Morogoro

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Joel Bendera, Mbunge wa Morogoro Kusini  Mhe...

View Article


Fahamu kiwango kipya anacholipwa Diamond kwa show Tanzania, ataingiza zaidi...

Tangu mwaka juzi tulifahamu kuwa Diamond Platinumz ndiye msanii wa Tanzania anaelipwa kiasi kikubwa cha pesa, na mwaka jana ikaelezwa kuwa bila milioni 10 au 8 za Kitanzania humpati kwenye show yako....

View Article


Familia ya Kichina yakosolewa kwa kumgeuza mtoto mfano wa 'msosi'

Familia ya kichina imekosolewa vikali na watu mbalimbali wanaopigania haki za watoto baada ya kuonesha picha ya mtoto wao mchanga akiwa katikati ya misosi huku akiwekewa mboga kama sehemu ya salad....

View Article

TCRA kutoa mafunzo kwa jeshi la Polisi

Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) imeanza zoezi la kuzunguka nchi nzima kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa jeshi la polisi kwa lengo la kupambana na uhalifu unaofanyika kupitia mitandao ya mawasiliano....

View Article

Amchana Mwanaye kwa Wembe aweze kujisaidia.....Mtoto huyo alizaliwa bila kuwa...

Mkazi wa Kata ya Kitangiri katika Wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, Anastazia Ngilitu, amemchana kwa wembe mtoto wake mwenye umri wa miezi miwili na wiki mbili baada ya mtoto huyo kuzaliwa bila kuwa na...

View Article

Mwanamitindo ayashitaki Makampuni kwa kuonesha sehemu zake za siri kwenye TV...

Mwanamitindo Jessie Nizewitz ambaye alikuwa kati ya wasichana waliokuwa kwenye mashindano ya series ya ‘Dating Nak8d’ amefungua mashitaka dhidi ya makampuni yanayowezesha show hiyo kwa kurusha vipande...

View Article


Mjumbe wa CCM ‘ajiunga’ UKAWA

 Jana ilikuwa kama sinema pale viongozi wa Kamati Namba Moja ya Bunge Maalumu walipojikuta wakibishana na mjumbe wao mbele ya waandishi wa habari, huku siri za mambo ya ndani ya vikao zikianikwa...

View Article

Nicki Minaj ashindwa kufanya 'clean version' ya video ya Anaconda, aeleza...

Rapper wa Young Money, Nicki Minaj aliachia video ya ‘Anaconda’ ambayo kimaadili bila kusita haifai na huenda wengi bado tunasubiri kuona video nyingine ya toleo safi.   Kwa bahati mbaya hakutakuwa na...

View Article


Roma Mkatoliki Kuachia Ngoma Mpya Serengeti Fiesta Tanga Jumamosi hii

Mwanamziki mashuhuri wa miondoko ya Hip-Hop hapa nchini, Roma Mkatoliki ametangaza rasmi kuachia ngoma zake mpya usiku wa Serengeti Fiesta-Tanga, katika uwanja wa Mkwakwani jumamosi hiii....

View Article

Marekani Yaanza kuwasaka Waliomchinja Mwandishi wa Habari James Foley

Kitengo cha sheria nchini ya Marekani kimeanza kufanya uchunguzi wa jinai dhidi ya kifo chamwandishi wa habari mwenye asili ya Marekani ,James Foley aliyeuawa na wapiganaji wa kiislamu wenye msimamo...

View Article


Jokate Na Vanessa Mdee Katika Beef Zito Kisa Penzi La Ommy Dimpoz

Habari  ya  Mjini   ni kuhusu Jokate Mwegelo  kutoka kimapenzi na Ommy Dimpoz ambaye ni star wa Bongofleva.   Habari zaidi zinasema kuwa Jokate na Ommy Dimpoz wamekuwa wapenzi kwa muda sasa ila kwa...

View Article

Baada ya kupokea Mashahara Mnono, Fundi Auawa....Atupwa Bwawani

Fundi ujenzi aliyefahamika kwa jina la Omari Mkulu (25) amedaiwa kuuawa na kutupwa ndani ya bwawa baada ya kudaiwa kutoweka nyumbani kwa takriban siku tatu. Tukio hilo lilitokea maeneo ya Mabwawa...

View Article

Wolper Alia kutopata Mtoto.....Madaktari wamwambia amwombe Mungu, bibi yake...

Super Star kunako tasnia ya sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe (26), anadaiwa kuangua kilio kisa kutopata mtoto.   Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wake wa karibu, staa huyo...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>