Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Uhamiaji Yafanya Maamuzi Magumu.....Yafuta Ajira 228 Zilizotolewa kiupendeleo kwa ndugu na marafiki.....Ajira hizo kutangazwa upya, Waliosababisha kukiona

$
0
0
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imezifuta rasmi ajira 200 za nafasi ya Konstebo na Koplo wa Uhamiaji baada ya kupokea ripoti ya Kamati iliyoundwa kuchunguza tuhuma za upendeleo katika ajira hizo ikidaiwa baadhi ya walioitwa katika ajira ni watoto wa jamaa, ndugu na Maofisa wa Idara ya Uhamiaji.   Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>