Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Johari awaponda waigizaji wanaokatishwa Viuno mbele ya hadhara.....

Blandina  Chagula  'Johari'  ambaye  ni  mmoja  wa  washiriki  wa  filamu  mpya  ya  Wrong  Hope  amewaponda  wasanii  wa  filamu  wanaokubali  kukatishwa  viuno  mbele  ya  hadhara  na  kueleza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Boko Haram yateka wanawake wengine 20 nchini Nigeria

Wapiganaji wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Boko Haram wamewateka nyara wanawake 20 kutoka jamii inayohamahama Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.   Wanawake hao walichukuliwa katika Makazi ya Gakini Fulani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama Picha za Diamond akiwa studio na Mafikizolo ambao wamemuomba afanye...

Tumezoea kuona wasanii wa Tanzania wakiomba kufanya collabo na wasanii wakubwa wa kimataifa kwa lengo la kujitangaza kimataifa, lakini Diamond Platnumz amefikia hadhi ya yeye kuombwa collabo na wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfalme wa Mapenzi: Video nyingine inayotabiriwa kufungiwa hivi karibuni

June 9 ilitoka rasmi video ya wimbo wa msanii wa kike wa Kenya aitwae Sanaipei, unaoitwa Mfalme wa Mapenzi na ndani ya siku mbili tu uliangaliwa YouTube zaidi ya mara 59,000. Video hiyo iliyoongozwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Agness Masogange: Umaarufu wake, Skendo zake na Mafanikio yake

Unapozungumzia  warembo  wazuri  ndani  ya jiji  la  Dar  es  Salaam  ni  wazi  kwamba  huwezi  kuacha  kulitaja  jina  la  Agness  Gerald  maarufu  kama  Masogange. Jina  lake  limekuwa  kubwa  sana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 11 June 2014

                                          Magazeti  ya  leo  Jumatano  ya  tarehe  11  June  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Nikifa sitaki kusifiwa" - Hii ni kauli ya msanii Riyama Ali

RIYAMA Ali mwigizaji wa kike asiye na kashifa katika tasnia ya filamu Bongo, amefunguka kwa kusema kuwa kama kuna msanii mwenzake au mtu mwenye mapenzi naye angependa kama ana sifa kuhusu yeye katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nuh Mziwanda adai kuwa tattoo ya jina la Shilole ni ya kudumu na atakufa nayo...

Juzi, Nuhu Mziwanda alipost picha kwenye Instagram ikionesha Tattoo aliyochora yenye jina la mpenzi wake Shilole ikiwa imeandikwa ‘ShiShiBaby’.   Wengi walihoji kuhusu tattoo hiyo kuwa ni tattoo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Malawi Yaanza Chokochoko zake.....Ndege yake yaonekana ikizunguka huko Ileje,...

MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM) ameomba Serikali ieleze juu ya ndege kutoka Malawi, ambayo imekuwa ikitia hofu wananchi wa Ileje, kwa kuzunguka angani kila mara.   Mbunge huyo alisimama kutoa hoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jennifer Lopez abadili mawazo, atashiriki ufunguzi wa kombe la dunia kesho

Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Jennifer Lopez amebadili msimammo wa kutohudhuria sherehe za ufunguzi wa fainali za kombe la dunia, na kutangaza kuwa atakuwa sehemu ya sherehe hizo zitakazofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vurugu kubwa zaibuka jijini Mwanza, Mabomu ya machozi yarindima kila...

JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanyabiashara wadogo  maarufu  kama  machinga waliokuwa wakipinga kuondolewa katika eneo la Kempu na eneo la soko la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sad News: Majambazi wavamia kituo cha Polisi KimanziChana na kuua...

Mnamo tarehe 11/06/14 majira ya 0100hrs huko kituo kidogo cha Kimanzichana Pwani,watu wasiojulikana waliojifanya kuwa ni raia wema waliingia kituo kidogo cha Polisi Kimanzi Chana huku wakikimbia wakiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibu ya Mbunge Salvatory Machemli wa CHADEMA kuhusu picha za utupu...

Siku chache zilizopita kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zilisambazwa picha mbalimbali za Wabunge wa Bunge la Tanzania zikionyesha wakiwa kwenye sehemu za faragha sehemu ambazo hutumiwa zaidi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Moto wateketeza soko la Mitumba la Karume jijini Dar usiku huu

Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam  ambalo linateketea na moto usiku huu....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka Anusurika Kufa...

Waziri wa  Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  Anna Tibaijuka juzi alinusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Bukoba kwenda Dodoma kupata ajali  kwa kugonga punda katika Kijiji cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole azungumzia uamuzi wa Nuh Mziwanda kujichora Tattoo ya jina lake...

Mwanzoni mwa wiki hii, Nuh Mziwanda ambaye ni mpenzi wa Shilole aka ShiShi Baby alijichora tattoo ya kudumu yenye jina la Shilole.   Akiongea na The Jump Off ya 100.5 Times Fm, Nuh Mziwanda alisisitiza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flora Mbasha azungumzia tuhuma za mumewe kubaka.....Azungumzia jinsi...

Emmanuel Mbasha, mume wa mwimbaji wa injili Flora Mbasha hivi karibuni aliwashituwa watu mbalimbali baada ya kutuhumiwa kumbaka binti ambaye awali alitajwa kama mdogo wake Flora.   Akiongea na Global...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizi NMB Mwanga: Wakenya wawili wahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Raia wawili wa Kenya, Samweli Saitoti (Saimoo) na Michael Kimani (Mike), wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), PC Michael...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yawatoa Hofu Wananchi kuhusiana na Ndege za Malawi zilizoonekana...

SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo.   Kauli hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waganga wa kutibu kwa sharti la Ngono Wakamatwa jijini Dar.....Wakutwa na...

Polisi Mkoa wa Kinondoni, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambao masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>