Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sad News: Majambazi wavamia kituo cha Polisi KimanziChana na kuua Askari.....Wamepora bunduki mbili na Risasi 100.

$
0
0
Mnamo tarehe 11/06/14 majira ya 0100hrs huko kituo kidogo cha Kimanzichana Pwani,watu wasiojulikana waliojifanya kuwa ni raia wema waliingia kituo kidogo cha Polisi Kimanzi Chana huku wakikimbia wakiwa na silaha za jadi kiasi cha askari wa zamu kuamini kuwa ni watu wanaohitaji msaada.  Cha kushangaza watu hao walimvamia askari mwenye silaha ambaye amefahamika kwa jina la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>